Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

CHAMA AWATAKA MASHABIKI NA KLABU ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU KUWA WAVUMILIVU.



 
Baada ya klabu nyingi kuwalalamikia waamuzi wanaochezesha mechi za ligi kuu soka Tanzania bara Mwenyekiti wa kamati ya waamuzi nchini SALUM CHAMA amesema klabu paoja na mashabiki wanapaswa kuwa wavumilivu kutokana na kamatia yake kuendelea kufatilia waamuzi wanaofanya vibaya katika ligi.

SALUM CHAMA amesema ni kweli wameanza kupata malalamiko ya waamuzi wanaochezesha vibaya katika ligi hiyo na kuwachulia hatua kwa wale wawaamuzi waliokuwa wakichezesha ligi hiyo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget