Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KAMATI YA TAIFA STARS YAENDELEA KUPATA WADHAMINI.



 
Kamati iliyoundwa na Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF ya kusaidia timu ya Taifa ya Taifa Stars imeendelea kupata wadhamini wa kuiweza timu hiyo kujimudi katika Nyanja mabimbali za kifedha.

katibu Mkuu wa kamati hiyo TEDDY MAPUNDA leo amewatangaza wadhamini wawili ambao ni kamuni ya benk ya EQUITY na hoteli ya Serena iliyopo jijini Dar es salaam.

Kwa upande wake Msimamizi kitengo cha Masoko katika bank ya EQUITY BETTY KWAKO amesema kilichowasukuma kutoa mchango wao kwa timu hiyo ni kuonyesha uzalendo na Taifa lao.

Naye Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko kutoka Hotel ya Serena SERAPHIN LUSAMA amesema wanaimani na timu ya Taifa Stars kwa sasa na wameamua kuiunga mkono kutokana na jitihada zinazoionyesha timu hiyo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget