Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KAVUMBAGU BADO SANA KUONDOKA AZAM.





Klabu ya soka ya Azam Fc imekanusha taarifa ya kupokea maombi kutoka katika klabu mbalimbali zinazo shiriki ligi kuu soka Tanzania bara kutaka kumsajiri mchezaji wao Didie Kavumbagu katika dirisha dogo la usajiri
linakarbia kufunguliwa hivi karibuni.

Akizungumza na KILOWOKO.BLOGSPOT.COM Afisa habari wa Azam Fc JAFARY IDD amesema wao kama klabu bado hawajapata taarifa yoyote kuhusu mchezaji huyo kutokana bado anamkataba na klabu hiyo licha ya kusikia baadhia ya vilabu vikizungumza kuhusu mchezaji huyo kwenye vyombo vya habari.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget