Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MZEE WENGER ATWAA TUZO YA KOCHA BORA MWEZI OKTOBA.



 

MSHAMBULIAJI nyota wa Leicester City, Jamie Vardy ambaye ndio mfungaji anayeongoza kwasasa katika Ligi Kuu, ametajwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Octoba baada ya kufunga mabao matano katika mechi nne.

Nyota huyo wa kimataifa wa Uingereza mwenye umri wa miaka 28, ameafunga mabao 12 katika mechi 12 za ligi msimu huu huku akifunga katika mechi tisa zilizopita na kuisaidia Leicester kukaa katika nafasi ya tatu.

Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger yeye ameteuliwa kuwa meneja bora wa mwezi baada ya kushinda mechi nne alizosimamia mwezi uliopita na kukifanya kikosi chake kukaa katika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.

Hiyo inakuwa tuzo ya 15 kwa Wenger toka aanze kuinoa Arsenal.

Wenger mwenye umri wa miaka 66, alimshinda meneja wa Leicester Claudio Ranieri ambaye yeye ameshinda mechi mechi tatu mwezi uliopita.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget