Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

RAIS MAGUFULI KUZISHUHUDIA STARS NA ALGERIA NOVEMBA 14.


 

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam SAID MECKY SADICK amewataka watanzania kujitokeza kwa wiki Novemba 14 mwaka huu katika uwanja wa Taifa jijin Dar es Salaam kuishangilia timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars
itakapomenyana na mbweha wa jangwani timu ya Algeria.

SADICK amesema pamoja na kupungua kwa morali ya kuishangilia timu hiyo kwa kipindi  kirefu ilipokuwa ikifanya vibaya lakini kutoka na michezo kadhaaa iliyoicheza timu hiyo hivi karibu inaonyesha ni jinsi gani timu hiyo imebadirika na kufanya vizuri.
 

SADICK amesema katika mchezo huu wa jumamosi wanatarajia kuwa na Rais wa Jamuhuri wa Tanzania Dkt.JOHN POMBE MAGUFULI ambaye na yeye atakuwepo kuishuhudia timu hiyo ikicheza dhidi ya timu ya Algeria.


Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget