Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

STARS YAPOTEZA MCHEZO WAKE HUKO AFRIKA KUSINI KWA KIPIGO CHA MABAO 2-0



 
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imepoteza mechi yake ya kirafiki ya mazoezi dhidi ya timu ya taifa ya vijana ya Afrika Kusini chini ya miaka 23 kwa kwa kipigo cha mabao 2-0.

Mechezo huu ulipigwa katika dimba la uwanja wa Eldorado jiji la Johanesbur huku vijana wa Taifa Stars wakionekana kujilinda zaidi na mchezo huo lakini wakapote kwa mabao hayo mawili.

Kocha mkuu wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa amesema wachezaji wake walicheza kwa tahadhari kubwa kwa hofu ya kuumia ili waweze kufanya vyema katika mchezo wao wa jumamosi dhidi ya Algeria.

Stars sasa imeanzakujipanga kurejea nchini siku ya kesho kwa usafiri wa shirika la Fastjet.

kikosi cha Stars kilikuwa kikiongozwa na wachezaji :

1.   Aishi Manula
2.   Shomari Kapombe
3.   Haji Mwinyi
4.   Nadir Haroub
5.   Kelvin Yondani
6.   Jonas Mkude/Himid Mao
7.   Simon Msuva
8.   Salum Abubabary/Frank Domayo
9.   John Bocco/Elius Maguri
10.Mrisho Ngassa/Malimi Busungu
11. Farid Mussa/Salum Telela


Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget