Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

WATANZANIA WATAKIWA KUJITOKEZA KWA WINGI KUISAPOTI LIGI DARAJA LA KWANZA.


 

Wadhamini wakuu wa Ligi daraja la kwanza nchini StarTimes leo wameshindwa kugawa vifaa vya michezo kwa timu 24 zinazoshiriki ligi hiyo daraja la kwanza kutokana na sababu ambazo hazikufahamika.

Akizungumzia swala hilo msemaji wa vilabu vinavyoshiriki ligi hiyo na ni Afisa habari wa klabu ya Ruvu Shooting Masau Bwire amesema wadhamini hao wamesindwa kutoa vifaa hvyo lakini wanajipanga vyema ili siku ya kesho waweze kutoa vifaa hvyo vya michezo.

Bwire amesema pamoja na kupewa vifaa hivyo lakini walishazungumza na wahusika kuhusu udhamini wa ligi hii na jinsi ambavyo ratiba itapangwa kuhakikisha ligi hiyo inakaa sawa.

Bwire amewataka watanzani kujitokeza kwa kwa wingi katika kuiunga mkono ligi hiyo kwa timu zinazoshiriki ligi hiyo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget