Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

NDEGE YAUA WACHEZAJI WA BRAZIL.



Image result for sudamerica 

Ndege iliyobeba abiria imeanguka karibu na mji wa Medellin nchini Colombia ikiwa imebeba abiria 72 kati yao wakiwa ni wachezaji wa timu ya daraja la kwanza nchini Brazil ya Sudamericana.

Imeelezwa kwamba watu nane tu wameokoka na bado haijajulikana ni akina nani kwa kuwa ndege hiyo imeanguka katika sehemu mbaya ambayo ilinyesha mvua kubwa.

Meya wa jiji la Medellin, Federico Gutierrez amethibitisha kudondoka kwa ndege hiyo iliyokuwa imebeba abiria hao 72 pamoja na wafanyakazi wanane.

Kikosi cha Sudamericana kutoka Kusini mwa Brazil kilikuwa katika ndege hiyo ya Lamia yenye makao yake makuu nchini Bolivia kwenda Medellin kucheza mechi ya dhidi Atletico Nacional.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget