Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

xavi:watajilaumu sana Madrid kama watashindwa kutwaa taji msimu huu.



Image result for xavi barcelona 
Mchezaji wa zamani wa Barcelona Xavi ameitahadharisha Real Madrid kuwa Malaga si timu rahisi na kuifunga kwenye uwanja wao wa nyumbani ni kazi ngumu.

Los Blancos sasa wanahitaji pointi moja tu kutwaa ubingwa wa La Liga kwa mara ya kwanza baada ya miaka mitano kuelekea mechi ya Jumapili ugenini dhidi ya Malaga wakati Barcelona wakivaana na Eibar.

Madrid wanapewa nafasi kubwa kuifunga Malaga lakini Xavi anaamini mechi hiyo itakuwa ngumu kutokana na kiwango safi cha timu ya Michel ambayo imefungwa mechi moja tu katika nane za mwisho.

Wakati Xavi akiendelea kuiombea mema timu yake ya zamani anakiri kuwa itakuwa ni pigo kubwa kwa Madrid ikiwa hawatatwaa taji msimu huu.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget