Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

BABU WENGER AANZA MBWEMBWE JUU YA MCHEZAJI WAKE PEREZ.



Lucas Perez celebrates scoring the third goal with Chuba Akpom  
KOCHA Arsene Wenger amejitapa na kusema mchezaji wake aliyeghalimu £17m Lucas Perez tayari ameshawiva na kuwasha moto kwa sasa.

Mchezaji huyo raia wa nchini wa nchini hispani ameifungia timu yake ya arsenal mabao 2 katika ushindi mabao 4-0 walioupata mbele ya Nottingham Forest.

Granit Xhaka pia amekuwa mchezaji mzuri kwa kuonyesha kandanda safi siku za hivi karibuni na kuzidi kuweka matumaini kwa mashabiki wa timu hiyo.

KOCHA huyo wa the Gunners mzee Wenger amesema kuwa Perez amefanya kzai ya ziada usiku wa kuamkia hii leo na kuisaidi timu yake kutoka na ushindi katika michuano ya Kombe la Ligi.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget