Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KIKOSI CHA SIMBA CHAELEKEA MTWRA KWA KUWAKABIRI WAMAKONDE NDANDA FC.



Image result for KIKOSI CHA SIMBA CHA SAFARI 
KIKOSI cha Simba kimeanza safari leo hii kuelekea mjini Mtwara kwa ajili ya mechi yake ya Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili keshokutwa Jumapili.

Mechi hiyo ya kwanza ya Simba itakuwa dhidi ya Ndanda FC kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara.

Kwa Simba, kitakuwa kipimo namba moja na wanalazimika kushinda ili kuanza sahihi kwa kuwa tofauti yao na Yanga ni pointi mbili tu.

Uwanja wa Nangwanda umekuwa ni mgumu kwa timu nyingi kubwa za Ligi Kuu Bara na Simba lazima wawe makini.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget