Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

AZAM FC YATUMA SALAM KWA KLABU YA SOKA YA YANGA.



 
Homa ya pambano la Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Azam na Yanga imeanza kupanda ambapo Azam FC wamesema hawana mpango wowote wa kuiwekea kambi timu hiyo.

Mtanange huo wa kusisimua utapigwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Jumapili hii.

Akizungumzia Mtendaji mkuu wa Azam FC SAAD KAWEMBA amesema Yanga kwao ni timu ya kawaida sana hivyo hawaoni haja ya kuweka kambi nje ya Chamazi.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget