Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KLOPP KUINOA LIVERPOOL.



 
Klabu ya Liverpool inakaribia kumteua meneja wa Borussia Dortmund Jurgen Klopp kuwa meneja wao mpya wa klabu hiyo kwa mkataba wa miaka mitatu.

Liverpool wanamatumaini ya kukamilisha majadiliano hayo siku ya kesho na kumtaja meneja huyo mwenye umri wa miaka 48 raia wa Ujerumani kuchukua nafasi ya Brendan Rodgers mwishoni mwa wiki.

Rodgers alitimuliwa Jumapili kufuatia sare ya bao 1-1 waliyopata katika Ligi Kuu dhidi ya Everton.

Klopp ametakiwa kuwachukua wasaidizi wake wa zamani Zeljko Buvaz na Peter Krawietz kuwa sehemu ya benchi lake la ufundi.


Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget