Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

PODOSKI KUIKOSA IRELAND.


 
Winga Lukas Podolski ameondolewa katika kikosi cha timu ya taifa ya Ujerumani ambacho kinajiandaa na mechi za kufuzu michuano ya Euro 2016 dhidi ya Ireland na Georgia baada ya kupata majeruhi ya kifundo cha mguu.

Podolski alijiunga na kikosi hicho Jumatatu lakini vipimo zaidi vilionyesha kuwa winga huyo wa Galatasaray hataweza kucheza katika siku zijazo.

Katika mchezo wa kesho dhidi ya Ireland utakaochezwa Dublin Ujerumani wanaweza kujihakikishia nafasi ya kufuzu michuano hiyo itakayofanyika nchini Ufaransa mwakani.

Ujerumani ndio wanaoongoza kundi D wakifuatiwa na Poland katika nafasi pili huku wakipishana alama mbili.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget