Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KOCHA MOURINHO AANZA KUKALIA KUTI KAVU DARAJANI.



 
Hali ya wachezaji na Kocha wao Jose Mourinho wa Chelsea ni mbaya baada ya kikosi chake kufungwa kwa mikwaju ya penaksti 5-4 katika mechi ya Capital One Cup.

Stoke City ndiyo wababe wa Chelsea safari hii baada ya kuanza kuwafunga lakini wakasawazisha na kufanya dakika 90 na baadaye mchezo ukamalizika kwa sare ya 1-1.

lakini mikwaju ya penalti, ikawarudisha katika maisha ya kipigo baada ya Eden Hazard kukosa penalti ya mwisho.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget