Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

LIGI YA SOKA LA UFUKWENI KUANZA MAPEMA MWEZI UJAO.



 
Ligi ya soka la ufukweni inatarajia kuanza kuatimua vumbi lake tena mapema mwezi ujao jijini Dar es Salaam huku ikishirikisha zaidi wanafunzi wa vyuo.

Akizungumza na kutoka viwanjani Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya soka la ufukweni JOHN MWANSASU amesema kitu kilichochelewesha kuanza kwa ligi hiyo ni baada ya kufungwa kwa vyuo vingi jijini Dar es salaam huku akiongeza kuendelea na mchakato huo pamoja na kutafuta wadhamini.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget