Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

SHEKHE WA MKOA WA DAR ES SAALAM AWATAKA WATANZANIA KUTOIVUNJA AMANI.



 
Kuelekea katika mtanage wa kusisimua kati ya Yanga dhidi ya Azam fc TFF  imeeandaa mechi maalum ya viongozi wa dini ya Kiislamu watakocheza na viongozi wa dini ya kikisto katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ikiwa na na lengo la kudumisha amani kuelekea katika kipindi cha uchaguzi wa viongozi wa kitanzania.

Akizungumza na kutoka viwanjani Shekhe wa Mkoa wa Dar es Salaam ALHAD MUSSA SALUM amesema mandalizi kwa upande wao yamekamilika kuelekea katika mtanange huo na kuwataka watanzania kufika uwanjani kushuhudia mtanange huo.

Naye OMARY MWAULANGA ambaye ni balozi wa amani Tanzania amesema ni vyema kuwa na michezo kama hiyo baina ya viongozi hao wa dinina kuwataka vijana mbalimbali kwenda kushuhudia mtanange huo ili kujifunza kuendelea kuimarisha amani ya kitanzania.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget