Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

TIMU YA TAIFA YA MPIRA WA MAGONGO HAPATOSHI HII LEO HUKO NCHINI AFRIKA KUSINI.



 
Timu ya taifa ya mpira wa magongo ya wanawake leo inatupa karata yake ya kwanza kwa kucheza mechi yake ya kwanza ya ufunguzi dhidi ya zimbambwe katika mashindano kufudhu olimpic ya afrika yanayofanyika huko nchini afrika kusini.

Kocha wa timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa Magongo Varentina  amesema kwa upande wa wanaume mechi yao ya ufunguzi watacheza na misri siku kesho.

Aidha kocha Varentina Quaranta amesema kwa upande wao timu yake ipo vizuri kuanza mchezo huo wa ufunguzi dhidi ya timu ya Zimbabwe richa ya kupoteza mchezo wao wa kirafiki walipocheza na timu ya chini ya miaka 21 ya Afika ya Kusini kwa kupoteza mchezo huo kwa kufungwa magoli 8-0.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget