Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MTIBWA WAANZA KUJIFUA TENA KWA MAZUNGUKO MWINGINE WA LIGI.


 
Klabu ya soka ya Mtibwa Sugar imeanza kujifua huko manungu turiani kwaajili ya mzunguko mwingine wa ligi kuu soka Tanzania bara kwa mwaka 2015.


Afisa habari wa Mtibwa Sugar Tobias Kifaru amesema timu yake hivi sasa imeingia katika ushindani zaidi baada ya kufanya vizuri mpaka hivi sasa katika ligi kuu na kuleta upinzani kwa vilabiu vingine.

Kifaru amesema wameanza mapema mazoezi hayo ili kujiweka vyema ili kuendeleza ushindani huo baada ya kuanza kwa mzugunguko mwingine wa ligi.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget