Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

AFRICAN SPORTS KUJITATHIMINI UPYA.



 

Ili kufanya timu kuwa bora zaidi kwa muda wote Uongozi wa klabu ya soka ya African Sports inatarajia kufanya kikao na wanachama wake kwajili ya kujadili maendeleo ya klabu hiyo baada ya kutofanya vizuri katika ligi kuu soka Tanzania bara.


Khatibu Mwashamu ni afisa habari wa African Sports amesema wanatarajia kufanya kikao hicho mapema mwezi huu baada ya kunza vibaya kwa timu yako na kujadili jinsi gani ya kuiweka sawa.

Amesema ili klabu ifanye vyem ni lazima kuwe na maboresho ya mara kwa mara na hicho ndicho wanachokitaka kukifanya kurejesha imani kwa mashabiki wao.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget