Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MWAISABULA AICHAMBUA LIGI YA MSIMU HUU.



 
Mchambuzi na mwalimu wa mchezo wa soka nchini Tanzania Kenedy Mwaisabula amesema msimu huu wa ligi kuu soka Tanzania bara umekuwa na ushindani mkubwa kwasababu timu zote zimejipanga kutwaa kombe la ligi hiyo.

Mwaisabula asema ligi imekuwa gumi zaidi pale timu inapokuwa imepoteza mchezo hata moja tu hivyo husababisha kujipanga na kufanya uzuri katika mchezo mwingine .

Aidha Mwaisabula ametoa maoni yake kwa timu ambazo huenda zikashuka daraja kwa msimu huu huku akizipa nafasi kubwa klabu za Yanga na Azamu kutwaa ubingwa katika msimu huu.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget