Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

YANGA YAANDAA UTARATIBU MZURI WA MAUZO YA JEZI.



 
Klabu ya soka ya  Yanga imeseema kwa sasa ina mpango wa kuanzisha mfumo mzuri ili kuweza kuingiza jezi zao mtaani na kupata faida inayoendana na hadhi ya klabu yao.

Akizungumzia utaratibu huo katibu Mkuu wa klabu ya soka ya Yanga Dkt.Jonas Tiboroha amesema kwa sasa bado hawajaingiza mtaani jezi zo zinazotumika msimu huu kwa sababu wanatafuta utaraibu mzuri na maalumu wa kuuza jezi hizo orijino.

Pia Tiboroha amezungumzia uchaguzi ndani ya klabu hiyo na kuwataka mashabiki kuwa wavumilivu kwa kipindi hiki wanachoandaa utaratibu wa uchaguzi huo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget