Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

NANI ATAKUWA MFUNGAJI WA GOLI BORA ITAFAHAMIKA JANUARY 11.


 
Shirikisho la soka ulimwenguni FIFA limetangaza magoli 10 bora yaliofungwa kwa mwaka 2015 na wachezaji mabali mbali wa soka duniani kote.

Baada ya kutajwa kwa majina hayo FIFA itaketi chini na November 30 watachuja na kutangaza magoli bora matatu ambayo January 11 mwaka 2016 jijini Zurich nchini Uswiss watatangaza goli moja kati ya matatu bora na mshindi atapewa tuzo ya ufungaji bora wa goli hilo bora la dunia.
 
Sasa katika kutangawa kwa wachezaji hao na magoli yenyewe ni pamoja na goli la Lionel Messi, Robin van Parse, Carlos Tevez na David Ball.

Ikumbukwe kuwa tuzo hizi za goli bora ilianzishwa October 20 mwaka 2009 na Shirikisho la soka duniani FIFA na aliyekuwepo madarakani kwa wakati huo ni Rais wa FIFA Sepp Blatter tuzo hii uhusisha magoli bora kwa mwaka husika.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget