Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MTIBWA NAO WAELEKEA KULA BATA KIDOGO.



 
Baada ya klabu ya Simba,Yanga na Azam Fc kuwapa mapumziko wachezaji wao nayo kalbu ya soka ya Mtibwa Sugar ya Mkoani Morogoro umewapa mapumziko wachezaji wake kwaajili ya kupumzisha miili yao.

Akizingumza na Kilowoko.blogspot.com afisa habari wa klabu hiyo Thobias Kifaru amesema wameamua kuwapa mapumziko wachezaji wao ili kuwapa nafasi ya kujirekebisha mahali walipokosea katika ligi kuu soka Tanzania bara.

Kifaru amesema mpaka hivi sasa bado wanaendelea kuwa na upinzani wa kutosha katika ligi hiyo na kuwa klabu tishio pindi inapokuwa uwanjani.

Mtibwa Sugar hivi sasa katika Msimamo wa ligi kuu soka Tanzania bara inashika nafasi ya 3 huku ikikusanya point zake 22 katika ligi hiyo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget