Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

HAPA ULIMWENGU PALE SAMATTA HAPA TOSHI KESHO DHIDI YA USM ALGERES.




 

Wachezaji wa kitanzania Thomas Ulimwengu na Mbwana Samatta wanaokipiga katika klabu ya Tp Mazembe ya nchini Congo kesho wanakutana na kibarua kingine kugumu cha kuitetea klabu yao katika fainali za kushiriki klabu bingwa Afrika.

Mchezo wa klabu ya soka ya TP Mazembe utakuwa ni wa marudiano watakaocheza dhidi ya USM Alger ya nchini Algeria.

Katika mchezo wa kwanza katika Uwanja wa Omar Hamadi nchini Algeria klabu ya TP Mazembe ilishinda mabao 2-1, hivyo huku kati ya hao moja likiwekwa nyavuni na Mbwana Samtta.

Lakini baada ya mchezo huo wa kesho Samatta na Ulimwengu watajiunga na kambi ya Taifa Stars huko Afrika Kusini kujiandaa na mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2018 dhidi ya Algeria.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget