Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

STARS INAENDELEA KUJIFUA HADI KIELEWEKE HUKO KWA MZEE MADIBA.



 

Kikosi cha Taifa Stars chini ya kocha wke Charles Boniface Mkwasa leo kinaendelea mazoeezi yake katika kambi yake huko jijini Johannesburg, Afrika Kusini kwaajili ya mchezo wake w\ kirafiki dhidi ya Universty of Protea siku ya kesho.

Stars inaendelea na kambi yake huko Afrika Kusini kwajili ya mchezo wake dhidi ya Algeria wa kusaka tiketi ya fainali za kombe la dunia nchini Uswisi mwaka 2018.

Mchezo wa Stars dhidi ya Algeria unatarajiwa kupigwa jijini Dar es Salaam Novemba 14 mwaka huu katika dimba la uwanja wa Taifa.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget