Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

SUAREZ AANZA KUIHOFIA MADRID.



 
Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez amebainisha kuelekea mchezo wao wa Clasico kuwa safu ya ulinzi ya Real Madrid ni ngumu kuwahi kupambana nayo katika maisha yake ya soka.


Nyota huyo wa kimataifa wa Uruguay, aliichezea Barcelona mechi yake ya kwanza dhidi ya Madrid katika Uwanja wa Santiago Bernabeu Octoba mwaka jana.

Katika mchezo huo Barcelona ilitandikwa mabao 3-1 huku Suarez akitoa pasi ya bao pekee lililofungwa na Neymar lakini walifanikiwa kulipa kisasi katika mchezo wa maruadiano kwa yota huyo kufunga bao katika ushindi wa mabao 2-1 waliopata.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget