Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

TFF KUIGEUKIA TWIGA STARS



 
Shirikisho la soka chini Tanzania TFF linaendelea kuweka mikakati kwaajili ya timu ya taifa ya wanawake Twiga Stars kwaajili ya kuiimarisha zaidi katika mashindano mbalimbali yanayokuja mbeleni.


Akizungumza na Kilowoko.blogspot.com Mratibu wa timu za Taifa MARTIN CHACHA amesema wanajipanga wao kama Shirikisho kuhakikisha timu hiyo sasa inafanya jitihada zaidi ya kubaki katika kiwango kizuri cha soka.

Hii ni baada ya timu ya Twiga stars kuitandika timu ya wanawake ya Malawi kwa mabao 2-0 jumamaosi iliyopita ukiwa ni mchezo wao wa kirafiki katika uwanja wa Azam Complex.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget