Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

TIMU YA TAIFA YA VIJANA KUINGIA KAMBINI MWISHONI MWA MWEZI HUU.



 
Timu ya Taifa ya vijana umri chini ya miaka 15 inatarajia kuingia kambini mwishoni mwa mwezi huu kwaajili ya kujiandaa na mashinda ya vijana mwaka 2016.


Akizungumza na kutoka viwanjani  Afisa maandeleo wa soka la vijana kutoka TFF JEMEDARY SAID amesema timu hiyo itaweka kambi katika Hostel za karume na itakuwa ikicheza michezo ya kirafiki na timu za vijana wenye umri huo na haitatoka tena nje ya jiji la Dar es Salaam.

Amesema wamefanya hivyo ili kuwaweka vijana hao kwaajili ya safari yao inayoandaliwa na Shirikisho kwaajili kuelekea Afrika Kusini.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget