Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

"NIMEJIUNGA NA ARSENAL ILI KUTWAA UBINGWA" HAYAO NAIA MANENO YA CECH.



Cech: I joined Arsenal to win the Premier League 

Mlinda mlango wa klabu ya Arsenal Petr Cech amesema alijiunga na washika mitutu hao wa Jiji la London kwa sababu anaimani ya kubeba ubingwa msimu huu.


Mchezaji huyo ambaye ni raia wa Jamuhuri ya Czech alikuwa mlinda mlango wazamani wa Chelsea kwa kipindi cha misimu 11lakini aliikacha klabu hiyo na kuahamia Emirates Stadium.

Cech mwenye miaka 33 ameisaidia Arsenal kupaa hadi kileleni mwa msimamo wa ligi kuu soka nchini Uingereza na amevunja rekodi ya David James' katika ushindi wa mabao  2-0 walioupata kutoka kwa AFC Bournemouth jumatatu hii.

Cech amesema sio maamuzi rahisi kuhama katika klabu ambao ulikuw ukiitumikia katika miaka mingi lakini yeye siku zote napenda kwenda katika klabu ninayotaka.

Akihojiwa Cech amesema anacheza mpira sio kwa kufurahi,kupenda changamoto na kushindana na timu bora lakini anapenda kushinda michezo mingi na kubeba kombe.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget