Meneja wa Mashetani
wekundu wa jiji la Manchester United Louis van Gaal amesema klabu yake inaweza
kubadirika muda sio mrefu na kuonyesha kiwango bora zaidi.
United wamecheza michezo sita bila kupata ushindi wowote huku Van Gaal akiwa na matumaini ya kubadirika kwa kikosi chake kutokana na mwendendo mmbovu walionao hivi sasa.
Post a Comment