Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

ANDRY MURRAY ASHIKIKI AUSTRALIA OPEN.



 
Mwingereza Andy Murray amemshinda raia wa Australia Sam Groth na kufika raundi ya tatu ya mashindano ya tenisi ya Australian Open.


Mchezaji huyo aliyeorodheshwa nambari mbili katika mashindano hayo, alimshinda Groth kwa 6-0 6-4 6-1 katika kipindi cha saa moja na dakika 30.

Groth, 28, hakupewa nafasi ya kutawala na Murray, ambaye anatokea Scotland.
Murray, 28, sasa ameingia katika 32 bora ambapo atakutana na Mreno Joao Sousa kwa mara ya tatu katika kipindi cha miaka minne.

Mwingereza mwingine Johanna Konta alimshinda Zheng Saisai kutoka Uchina 6-2 6-3 na kufika raundi ya tatu ya mashindano hayo upande wa wanawake.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget