Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

HAMIS KIIZA AZIDI KUWA MWIBA MCHUNGU KATIKA KIKOSI CHA SIMBA.



Klabu ya soka ya Simba SC imefanikiwa kuichapa timu ya Bukinafaso ya mkoani Morogoro kwa mabao 3-0 katika mchezo uliopigwa katika dimba la uwanja wa wa Jamhuri mkoani Morogoro.

 
http://www.afristars.net/wp-content/uploads/2015/09/Kiiza.jpg
Katika mchezo huo wa leo Simba SC waliutawala mchezo na kutengeneza nafasi nyingi na kama wangekuwa makini wangeshinda mabo mengi zaidi.
Katika dakika ya 77 ya mchezo Hamisi Kiiza Diegoakaiandikia Simba SC bao la kwanza akimalizia vyema pasi ya Abdi Banda.

Dakika ya 90 Said Hamisi Ndemla aliiandikia Simba SC goli la pili kwa shuti kali nje kidogo ya eneo la hatari na kuipa Simba goli la pili.

Hamisi Kiiza alihitimisha karamu ya mabao kwa kuifungia Simba SC baola tatu kwa mkwaju wa penati uliopigwa katika dakika ya 3 ya nyongeza na kupelekea mchezo kumalizika kwa Simba SC kuibuka na ushindi wa mabao 3-0.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget