Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

ANCELOTTI SASA AMGEUKIA BENZEMA.



 

Baada ya kuikacha klabu ya soka ya Real Madrid na kupata kibarua kingine cha kuinoa klabu ya soka ya Bayern Munich kocha Carlo Ancelotti ameanza seke seke la kutaka kumchukua mshambuliaji wa Madrid Karim Benzema.


Ancelotti anamtaka Benzema kujiunga na miamba hiyo ya soka ya nchini Ujerumani katika kipindi hiki cha usajili kama mshambuliaji wao Robert Lewandowski ataondoka  Allianz Arena.

Kwa mujibu wa chanzo cha habari cha OK Diario kinasema kocha huyo anataka kukibadirisha kikosi cha Munich na kuwa tishio zaidi katika ligi ya Bundersliga.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget