JKT Ruvu dhidi ya Maji maji katika uwanja wa Karume.
Wagosi wa kaya Coastal Union watakua wenyeji wa
Yanga.
Wekundu wa msimbazi Simba sport klabu wao watakua
wenyeji wa Afrikani Sport mchezo utaochezwa kwenye uwanja wa taifa Dar Es
Salaam.
Mtibwa Sugar watacheza na Stand United.
Huku Mwadui Fc ya Shinyanga watakipiga na majirani
zao wa Mwanza Toto Afrikans.
Kagera Sugar watapima ubavu na Mbeya City.
Ligi hiyo itaendelea tena siku ya jumapili kwa
mchezo mmoja kuchezwa kwa Mgambo Jkt kucheza na Ndanda FC.
Post a Comment