Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KOCHA WA CHELSEA HIDDINK ASEMA FALCAO BADO NI PANCHA HUKU AKIILAUMU KLABU YAKE KUMUUZA LUKAKU.



Latest Falcao injury is very serious, says Hiddink 
Kocha mkuu wa klabu ya soka ya Chelsea Guus Hiddink amesema majeraha yanayomsumbu mchezaji wake Radamel Falcao’s ni makubwa sana na anashindwa kuelezea ni lini hasa mchezaji huyo atarudi katika hali yake ya kawaida.


Falcao ambaye ni raia wa nchini Colombia alikuwa anajitahidi kurudisha kiwango chake Stamford Bridge katika kipindi hiki kwa kuisaidia The Blues, lakini imeshindikana kutokana na kuwa na matatizo makubwa yanayomsumbua.

Hiddink amesema mshambuliaji huyo anaweza akakaa nje ya dimba kwa muda wa zaidi ya miezi miwili hadi kurudi katika hali yake ya kawaida.

Wakati makubwa ya Falcao yakisumbu Hiddink tena anailaumu klabu yake ya Chelsea baada ya kumuuza mshambuliaji wa Everton Romelu Lukaku kutokana na kuwa mchezaji huyo ameonekana kuimarika zaidi katika timu yake.

 Hiddink: I don't know why Chelsea sold Lukaku

Lukaku alishindwa kuonyesha manjonjo yake katika kikosi cha kwanza cha Jose Mourinho's na kuuzwa katika klabu ya Everton kwa dau la £28 million mwaka 2014.

Mchezaji huyo mwenye miaka 22 ameonekana kucheza vizuri katika ligi ya Uingereza huku Hiddink akiiombo klabu yake ya Chelsea's kuwapa nafasi vijana wadogo kuonyesha vipaji vyao baada ya Lukakau hivi sasa kuwasumbua hata walipokutana dhidi ya klabu yake ya Evarton.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget