Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KOSCIELNY ATUMA SALAM ZA KHERI YA MWAKA MPYA KWA MASHABIKI WA ARSENAL BAADA YA USHINDI WALIOUPATA LEO..



Arsenal 1-0 Newcastle United: Wenger's men Premier League sole leaders 
Mlinzi wa klabu ya soka Arsenal Laurent Koscielny imeisababishia klabu yake kuanza mwaka mpya wa 2016 vizuri hii leo baada ya kuipatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Newcastle United.


The Gunners ambao leo hii wamepata ushindi njiti wanafurahia suluhu waliyoipata wapinzani wao Leicester's ambao wanawakaribia kwa karibu zaidi wakitofautiana alama mbili pekee.

Vijana wa mzee Arsene Wenger's walikuwa na hali ngumu katika uwanja wao wa nyumbani Emirates Stadium kutokana na kubanwa mbavu na Newcastle lakini walijikwamua kwa bao hilo moja.

Koscielny alipata upenyo katika dakika ya 72 ya mchezo na kupachika bao safi na kutwaa alama tatu katika msimamo wa ligi na kuwazidi wakiwa nafasi ya kwanza kwa alama42 wakiwazidi Leicester City ambao wametoka suluhu leo wakiwa na alama 40.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget