Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

LIVERPOOL YAUANZA MWAKA 2016 VIBAYA.



Is Benteke destined to be a £32m Liverpool flop? 
Klabu ya soka ya Liverpool imeunza mwaka mpya wa 2016 vibaya baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa wagonga nyundo wa London klabu ya West Ham.


 West Ham 2-0 Liverpool: Antonio and Carroll down Reds
Mabao ya West Ham yalipachikwa kimiani na wachezaji wake Michail Antonio na Andy Carroll katika dimba la uwanja wa Upton Park.

Sasa Liverpool imesalia katika nafasi ya 8 ikiwa na pointi zake 30 huku west Ham wakipanda hadi nafasi ya 5 wakikunja kitita cha pointi 32.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget