Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

NIYONZIMA:MIMI BADO MCHEZAJI HALALI WA YANGA.



 
Siku chache baada ya Uongozi wa klabu ya soka ya Yanga kumtimua aliyekuwa mchezaji wao Haruna Noyonzima kwa kosa la utovu wa nidhamu mchezaji huyo amejitokeza na kusema kuwa hajapewa utambulisho wowote wa kusema yeye sio mchezaji wa klabu hiyo.


Niyonzima amesema kwa kawaida kama mchezaji umevunjiwa mkataba na klabu yako lazima ikupe kielelezo yaani barua ya kutokutambua lakini yeye hajapewa barua yoyote hadi sasa.

Amesema yeye bado ni mchezaji halili wa klabu ya yanga kutokana na kutopata baruayoyote kutoka katika uongozi wa yanga wa kuvunja mkataba wake zaidi ya kusikia katika vyombo vya habari.

Yanga ilivunja makata wa mchezaji huyo na klabu hiyo kwa madai ya kuwa mchezaji huyo amekuwa na tabia ya kutorejia kambini kwa muda muafaka aliopangiwa na kutoka na utovu huo wa nidhama ambayo imeonekena ikijirudia rudi waka vunja makataba na mchezaji huyo.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget