Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MBWANA SAMATTA HATIMAYE ASAINI MKATABA WA MIAKA 4 KUITUMIKIA GENK YA UBELGIJI.



 

Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania Mbwana Ally Samatta maarufu kama Samagoal hatimaye leo hii amesaini mkataba wa miaka 4 na klabu yake mpya ya Genk nchini Ubelgiji.


Akizungumza na KILOWOKO.BLOGSPOT.COM baba mzazi wa Mnwana Mzee Ally Samatta amesema mtoto wake huyo amesaini mkataba wa miaka minne na klabu yake hiyo mpya lakini anachokisubiri kwa sasa ni kibari chakufanyia kazi nchini Ubelgiji.

Mzee samatta amesema mtoto wake huyo alitakiwa kupewa kibari hicho mapema lakini walikuwa wanamuwekea vikwazo vingi hadi kushihwa kupewa kibari hicho hadi sasa.

 

Amesema baada ya kushindikana kupatikana kibari hicho kwa wakati muafaka ndipo serikali ya nchini Tanzania ikaingilia kati na kuamuru Mbwana Samatta kupewa kibari hicho kabla ya kufikia siku ya kesho.

Mbwana Samatta kabla ya kwenda nchini Ubelgiji alikuwa mchezaji wa TP Mazembe ya nchini Congo kabla ya mmiriki wa klabu hiyo Moses Katumbi hajamruhusu kuondoka kutokana na kumalizika kwa mkataba wake.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget