
Rwanda imekuwa timu ya kwanza kufuzu kwa robofainali
ya michuano ya taifa bingwa Afrika kwa wachezaji wa ndani baada ya kuilaza
Gabon.
Rwanda, ambao ni wenyeji, wameandikisha ushindi wa
2-1 dhidi ya Gabon, kwenye mechi hiyo iliyochezewa uwanja wa Amahoro.
Mabao ya Rwanda yamefungwa na Sugira Ernest, la
kwanza mwishoni mwa kipindi cha kwanza na la pili mapema kipindi cha pili.
Post a Comment