Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

TANZANIA PRISONI WAWAPONDA MAJIRANI ZAO MBEYA CITY KWA KUPOTEZA MCHEZO LEO HII.



 
Baada ya klabu ya soka ya Tanzania Prison kushinda hii kwa mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union katika mchezo uliochezwa uwanja wa Sokoine jijini Mbeya mashabiki wa timu hiyo wameiponda klabu ya Mbeya City ambao ni majirani zao kwa kutandikwa mabao 2-1dhidi ya Ndanda.


City hii leo wakipigwa kipigo kizito cha mabao 4-1 na Ndanda Fc, mechi hiyo imechezwa katika dimba la uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara.
Azam yenye imerudi kileleni kwa kufikisha pointi 39 na kuishusha Yanga ambayo ina pointi 36 na ambayo kesho Alhamisi inashika dimbani dhi ya maji maji.

Azam wamepanda kileleni baada ya kuifunga Mgambo JKT bao 2-1, mechi iliyochezwa Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.

Mabao ya Prisons yalifungwa na Jeremiah Juma dakika ya 61 baada ya kupiga shuti kali na kutinga nyavuni ikiwa ni piga nikupige langoni mwa wapinzani wao wakati bao la pili lilifungwa na Mohamed Mkopi dakika ya 82.

Mkopi alifunga bao hilo baada ya kupokea krosi ya Benjamini Asukile huku bao la kufutia machozi la Coastal Union likifungwa na Mtenje Juma dakika ya 76 akiunganisha krosi ya Amad Juma.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget