Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

SILVA: MESSI NA RONALDO LAZIMA WATATUA PSG LAKINI SI KUMCHUKUA NEYMAR.



Beki nguli wa klabu ya soka ya Paris Saint-German Thiago Silva anaamini klabu yake inaweza ikamsajili mshambuliaji hatari wa klabu ya soka ya Barcelona Lionel Messi ambaye ni raia wa Argentine au Cristiano Ronaldo ambaye ni raia wa Portuguese katika kipindi cha usajili.

Silva anaamini kumsajili mshambuliaji wa  Barcelona kama Neymar inaweza kuwa kama daraja kubwa kwa Paris Saint-Germain,lakini klabu yake ianaweza ikapata hafueni kama ikiwachukua nyota Lionel Messi au Cristiano Ronaldo.

Mabingwa hao wa Ligue 1 wanaamini wanataka kutumia kiasi kikubwa cha fedha kwaajili ya kuchua nyota ambao watawaletea mafanikio katika kipindi kijacho kuliko kumtegemea mchezaji Zlatan Ibrahimovic,ambaye mkataba wake unakaribia kuisha.

 Thiago Silva confident PSG can sign Messi but rules out Neymar move

"Nampenda sana Neymar lakini naikifiri Barcelona haiwezi kuturuhusu kumchukuwa mchezaji huyo kutua klabuni kwetu kutoka ya kuwa ni tegemeo lao kubwa”,Alisema Silva.
Silva amesema Neymar anamkataba na klabu yake ya Barcelona unaomaliziki June 2018, lakini wazee hao wabut Catalans wanajiaandaa kumuongezea mkataba mwingine mchezaji huyo.

Amesema Messi mwenye miaka 28 hivi sasa na Ronaldo mwenye miaka 30 hivi sasa mikataba yao inaisha pamoja June 2018 lakini Barcelona na Real Madrid wanaweza wakawaachia kwenda klabu zingine.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget