Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

ARSENAL KWA ELNENY SASA DEAL DONE.




 
Klabu ya soka Arsenal imethibitisha kusaini kiungo wa klabu ya FC Basel Mohamed Elneny baada ya kusikika kwa minong’ono mingi ya kumtwaa mchezaji huyo.


Kocha wa Arsenal Arsene Wenger amethibitisha kwamba klabu hiyo imemnunua kiungo wa kati wa FC Basel ili kukiongezea kasi kikosi chake katika harakati za kuwani ubingwa wa ligi kuu.

Kutokana na kusajiliwa kwa kiungo huyo sasa klabu ya Arsenal inaweza ikamtumia katika mchezo wake wa jumapili watakokutana na klabu ya anaweza kuwachezea dhidi ya Stoke Jumapili.

Elneny, 23, anaripotiwa kuwagharimu the Gunners £5m kutua katika klabu hiyo yeye maskani yake jijini London.

Wenger amesema kiungo huyo amejiunga nao na watajaribu kumchezesha katika mchezo wao wa jumapili kuona kama ataweza.

Elneny alichezea Basel mechi ambayo walilaza Chelsea msimu wa 2013-14.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget