Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

SHELVEY DEAL DONE.



Kiungo wa klabu ya soka ya Swansea City, Jonjo Shelvey, Leo amefanyiwa vipimo vya afya katika makao makuu ya klabu ya soka  ya Newcastle United ili kukamilisha Uhamisho wake wenye thamani ya Pauni Milioni 12.


Shelvey anakuwa Mchezaji wa pili kusainiwa na kocha mkuu wa wa klabu hiyo Steve McClaren baada ya kumsaini Henri Saivet kutoka Bordeaux kwa Mkataba wa Miaka Mitano na Nusu.

Shelvey, mwenye Miaka 23, alisainiwa na Swansea Julai 2013 kutoka Liverpool kwa Pauni Milioni 5 na kuichezea Swansea Mechi 77 na kufunga Bao 9.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget