Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

KLABU YA PANAMA FC YASHUSHIWA RUNGU LA ADHABU.



 

Kamati ya mashindano ya Ligi ya mkoa wa Dar es Salaam imeshusha rungu la adhabu kwa klabu ya FC Panama inayoshiriki ligi hiyo baada ya kufanya fujo katika mchezo wao dhidi ya Makumba FC na kumshambulia vikali mwamuzi wa mchezo huo.


Fujo hizo zilitokea baada ya Mchezo huo wa ligi ya mkoa wa Dar es Salaam ulichezwa katika uwanja wa kunduchi kumalizika na wachezaji hao walimvamia mwamuzi huyo na kumchezeshea kipigo kilichosababisha mwamuzi huyo kupata majera ya mwilili.

Katibu wa Mashindano hayo Daud kanuti amesema klabu hiyo sio mara yao ya kwanza kufanya tukio kama hilo kutoka na kuwa walishafanya tukio kama hilo katika misimu ya ligi hiyo iliyopita.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget