Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

SIMBA YA KANA KUACHANA NA LYANGA.




 

Klabu ya soka ya Simba imekanusha taaarifa za kuachana na mchezaji wao Daniel Lyanga huku ikisisitiza hawana nia ya kuachana na mchezaji huyo kwa kipindi hiki.


Hili limekuja Siku chache baada ya mchezaji huyo kutonekana katika klabu hiyo kulizika taarifa za kuwa samba imeachana na mchezaji huyo huku pia akiwadai kiasi cha fedha.

Haji Manara amesema kuwa mchezaji huyo alikuwa hayupo kutokana na kwenda nyumbani kwao kwa matatizo alionayo ya kifamilia hivyo taarifa si za kweli.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget