Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

SIMBA YAENDELEA KUSHIKILIA MSIMAMO WAO KUHUSU HILI SAKATA.



http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/Haji-Manara-4.jpg 

Klabu ya soka ya Simba imeendelea kushikilia msimamo wake huku ikiipa masharti Shirikisho la soka nchini TFF kuhakikisha ratiba ya Ligi kuu soka Tanzania bara haibadirishwi na kubaki vile vile kama ilivyo pangwa kwa michezo ya mwishoni mwa wiki hii kuendelea.


Afisa habari wa klabu ya soka ya Simba Haji Manara amesema wataendelea kushikilia msimamo huo huku akiitaka TFF kuhakikisha kila klabu inacheza michezo yake yote bila kuwa na timu yoyote inayoweka viporo vya kucheza.

Hatua hiyo imekuja baada ya klabu ya soka ya Azam Fc kupewa ruhusa na TFF kueleke nchini Zambia kwaajili ya kucheza michezo ya kirafiki ya kujiweka sawa na mashindano ya kombe la Shirikisho kwa bara la Afrika hivyo kupelekea michezo yao ya ligi kuu kusogezwa mbele.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget