Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

SIMBA YAIKOMALIA ETOILE DU SAHEL KUHUSU MPUNGA WA OKWI.



 

Uongozi wa klabu ya soka ya Simba umeendelea na msimamo wake juu ya malipo yao ya Fedha wanazodai  kutoka kwa klabu ya Etoile Du Sahel ya Tunisia juu ya mauzo ya aliyekuwa mchezaji wao Emmanuel Okwi.


Haji Manara ambaye ni afisa habari wa klabu ya soka ya Simba amesema pamoja na klabu hiyo kupeleka maombi yao Shirikisho la soka Duniani FIFA juu ya kuilipa klabu ya Simba malipo hayo kwa awamu lakini wao kama uongozi wamegoma kulipwa hivyo kutokana na deni hilo kuwa la muda mrefu ambalo mpaka sasa wazidi kuzungushwa.

Simba inaidai Etoile Du Sahel sh milioni 300 kwaajili ya mchezaji huyo ambaye alikuwa anakipiga klabu hapo kabla ya kutimkia nchini Dermak.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget