Halloween Costume ideas 2015

TANGAZA NASI.

TANGAZA NASI.

MWESIGWA AFUNGUA KOZI YA MAKOCHA.




Katibu Mkuu wa Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF Mwesigwe Selestine leo amefungua rasmi kozi ya makocha ya FIFA katika viunga vya Hostel za Karume jijini Dar es Salaam kwa ngazi ya juu kwa upande wa makocha wanawake.


Akifungua kozi hiyo Mwesigwe amesema ni jamabo ambalo walikuwa wanalipigania kwa muda mrefu kuhakikisha nao wanawake wanapata mafunzo kama hiyo ya ukocha kutokana na wao kutopata fursa hiyo kwa muda mrefu sasa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Soka la wananwake nchini TWFA Amina karuma amesema anawashukuru TFF kwa kuandaa kozi hiyo kwa upande wa wanawake na ni moha la kuendelea soka la wanawake nchini.



Naye mkufunzi wa kozi hiyo Sunday Kayuni amesema kozi hiyo ambayo ilianza jana ni ishara kubwa sana kwa soka la wanawake na kuwataka makocha hao kutumia nafasi waliyopata kikamilifu ili kuwaendeleza soka la vijana na wanawake kwa ujumla.

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget